Leo,PSRS imetoa orodha ya Majina ya Walimu Walioitwa kwenye Usaili Mwalimu Daraja la III C Jiografia. Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya MDAs & LGAs anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 31/10/2024 hadi 15/11/2024 hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo.Wasailiwa wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo:-
Bonyeza hapa kudownload orodha ya majina Mwalimu Daraja la III C Jiografia