Leo, Sekretarieti ya Ajira wametangaza orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Mzumbe Utumishi 16 October 2024. Makamu Mkuu wa Chuo cha Chuo Kikuu Mzumbe anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 17-10-2024 hadi 18-10-2024 a hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo.Wasailiwa wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo:-
[caption id="attachment_3747" align="alignnone" width="300"] Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Mzumbe Utumishi 16 October 2024[/caption]
Bonyeza hapa kudownload majina Usaili Mzumbe Utumishi 16 October 2024